Tuesday, December 28, 2010

MHE.JAKAYA MRISHO KIKWETE AMUAPISHA JAJI MKUU MPYA.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Jaji Mohamed Chande Othman kuwa Jaji Mkuu kuchukua nafasi ya Jaji Mkuu anayemaliza muda wake Mh. Augustino Ramadhani katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar-es-salaam.
Mhe.Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Jaji Mkuu mpya na Majaji wa Mahakama
kuu na wa Mahakama ya Rufaa katika hafla hiyo
Mhe.rais Jakaya Kikwete akimpongeza Jaji Mkuu mpya baada ya kumuapisha.

MH.IDDI AZZAN ALA KIAPO CHA UTII, BUNGENI DODOMA

Mhe.Iddi Azzan akipewa pongezi na mmoja wa jamaa zake na baadhi ya wanachi walio kuwepo bungeni
 Mmoja wa viongozi wa chama cha CCM akimvisha taji Mhe.Iddi Azzan baada ya kumaliza kula kiapo cha kulitumikia taifa.
 Mhe.Waziri Mkuu Mizengo pinda na Mhe.Iddi Azzan wakipiga picha ya pamoja na wananchi baada ya kumaliza kula kiapo cha kulitumikia taifa.
 Mhe.Iddi Azzan akipokea mkono wa pongezi.
 Baadhi ya viongozi wa chama cha CCM wakipiga picha ya pamoja na Mhe.Mbunge Iddi Azzan.
Mhe.Iddi Azzan akiwa na kijjana wake Ahmed.
Mhe.Iddi Azzan akipiga picha ya pamoja na baadhi ya wananchi.













Tuesday, December 14, 2010

MHE: JAKAYA MRISHO KIKWETE AKABIDHIWA KOMBE LA CECAFA NA KILIMANJARO STAR.




Rais Jakaya Kikwete akiwa ameshikilia Kombe la Chalenji baada ya kukabidhiwa na wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania Bara `Kilimanjaro Stars` aliowaalika ikulu jijini Dar es Salaam.

kilimanjaro star wakishangilia baada ya kukabidhiwa kombe la challengi cup.

capten masajigwa na kocha mkuu wa kilimanjaro star wakikabidhiwa cheque ya dolla elfu 30,000 baada ya kutwaa ubingwa wa challeng cup, Kilimanjaro Star akiwa mwenyeji wa mashindano hayoo.

Thursday, December 2, 2010

ASAFIRI KWA BAISKELI GEITA-DAR, KUMPONGEZA RAIS MH:JAKAYA KIKWETE!



Rais Dk. Jakaya Kikwete, akimkaribisha Ikulu jijini Dar es Salaam, Mussa Lunyeka, kutoka kijiji cha Chabulongo, Kata ya Kasamwa, Geita, wakati alipowasili Ikulu kumpongeza Rais kwa kushinda katika uchaguzi mkuu mwaka huu. Kijana huyo mkulima, aliyesafiri kwa baiskeli kutoka Geita kuja Dare s Salaam, alipata wasaa wa kuzungumza na Rais Kikwete ambaye alimpongeza kwa moyo wake wa uzalendo na kuahidi kumpatia msaada wa kuboresha shughuli zake za kilimo.

Friday, November 19, 2010

MHE.IDDI AZZA NDANI YA BUNGE

Mh.Iddi Azzan akiwa na Mhe.Steven Wasira wakibadilishana mawazo nje ya ukumbi wa bunge.
Mhe.Iddi Azzan akiwa nje ya ukumbi wa bunge na baadhi ya Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi baada ya kwisha kuapishwa.
Mhe.Iddi Azzan akiwa na kijana wake Ahmed  Nje ya Kumbi wa Bunge kabla ya kwenda kuapishwa.
Mhe.Iddi Azzan akimpongeza Mama Anne Makinda baada ya Kuchaguliwa Kugombania nafasi ya Uspika kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi.







Tuesday, November 2, 2010

MHE.IDDI AZZAN ASHINDA KWA KISHINDO JIMBO LA KINONDONI.

Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi akimkabidhi Cheti Mhe.Iddi Azzan Cha Kuthibitisha kuwa yeye ndio mshindi wa Ubunge Jimbo hilo la Kinondoni. kwa idadi ya kura 51,372, wa pili CHADEMA kwa   kura 27,355 wa tatu CUF kwa kura 22,660 na wanne Dp kwa kura 210.
Mhe.Iddi Azzan akiwapa Mikono Viongozi wa Tume ya Uchaguzi
Wana CCM na Wananchi wakisikiliza matokeo ya Uchaguzi wa Jimbo la Kinondoni.
Mhe.Iddi Azzan akiwa amesimama pamoja na watu wake wakaribu wakisubiri kusikiliza matokeo ya Jimbo hilo.

Sunday, October 31, 2010

MHE.IDDI AZZAN AKIPIGA KURA, HUKU ZOWEZI LA KUPIGA KURA LIKIENDELEA VIZURI KATIKA MAENEO MBALIMBALI, DAR ES SALAAM.

Mhe.Iddi Azzan Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kupitia tiket ya CCM akiwasili katika kituo cha kupigia cha kura katika shule ya msingi ya Alhassan Mwinyi.

Msimamizi wa kituo cha kupiga kura akimuonyesha Mhe.Iddi Azzan Jina lake.

Mhe.Iddi Azzan akifuata taratibu za upigaji kura akionyesha kadi yake ya kupiga kura kwa Msimamizi.

Msimamizi akimkabidhi karatasi za kupigia kura Mhe.Iddi Azzan Mgomba Ubunge Jimbo la Kinondoni.
Mgombea Ubunge Mhe.Iddi Azzan akipiga kura yake kwenye chumba maalum kilicho andaliwa kwa kazi hiyo ya upigaji wa kura.

Akitumbukiza kura yake kwenye Sanduku la bluu ambalo ni la Mbunge.

Akitumbukiza kura yake kwenye Sanduku jeupe ambalo ni la Diwani.

Akitumbukiza kura yake kwenye sanduku Jeusi ambalo ni la Rais.

Msimamizi akimpaka wino Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni.

 Watu wakionekaniwa kwenye hali ya utulivu katika kituo cha kupiga kura kilichopo Sinza "A"

 Wananchi wakionekaniwa ni wenye kujitokeza kwa wingi katika vituo vya upigaji kura huko Sinza.

 Hali ya Upigaji kura ikionekaniwa ni ya utulivu sana katika maeneo yote ya vituo vya upigaji kura, hapa ni shule iliopo Tandale wananchi wakionekaniwa wakiangalia majina yao.

KILELE CHA KAMPENI CHAFIKIA MWISHO HUKU MHE.DK JAKAYA KIKWETE AKIFUNGA KAMPENI ZAKE VIWANJA VYA JANGWANI.

JK akipanda jukwaani kwa mbwembwe huku akicheza nyimbo ya bongo flava ya kizazi kipya kabla ya kuhutubia mkutano wake wa mwisho wa kampeni viwanja vya jangwani jijini Dar jana.
JK akimpa mkono mke wake Mama Salma Kikwete baada ya kuhutubia huku mgombea mwenza Dk. Mohamed Ghalib Bilal, Katibu Mkuu wa CCM Mh. Yusuf Makamba, Makamu wa CCM (Bara) Mh. Pius Msekwa na marais wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mh. Benjamin Mkapa pamoja na Waziri Mkuu mstaafu Mh. Joseph Sinde Warioba wakisubiri zamu zao
JK akisalimiana na mgombea mwenza wake Dk. Mohamed Gharib Bilal wakati akishuka jukwaani baada ya kumaliza kutoa salamu kwenye hafla ya kufunga mikutano ya kampeni kwa CCM, iliyofanyika kwenye viwanja wa Jangwani jioni ya Jana.
Dk. Mohamed Gharib Bilal akisalimiana na Rais Mstaaafu wa awamu ya tatu,Mh. Benjamin Mkapa na rais Mstaafu wa awamu ya pili,Mh. Ali Hassan Mwinyi wakati alipomaliza kutoa salamu zake kwa wapenzi na wanachama wa CCM waliofurika leo katika viwanja vya Jangwani jijini Dar wakati wa hafla ya kufunga mikutano ya kampeni.
Rais Benjamin Mkapa akihutubia
Meza kuu ikimpongeza rais Mstaafu Mh. Benjamin Mkapa kwa hotuba iliyotukuka
Rais Mstaafu Mh. Benjamin Mkapa akiwa na mawaziri wakuu wastaafu Dk. Salim Ahmed Salim, Mh. Joseph Sinde Warioba na Mgombea mwenza wa JK , Dk. Mohamed Ghalib Bilal
Mheshima Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wananchi wakati alipowasili kwenye viwanja vya Jangwani kwa ajili ya kufunga mikutano ya kampeni kwa CCM.
Mheshimiwa Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mjumbe wa Halmashauri kuu kwa Mkoa wa 
Dar es Salaam, Asha Baraka, wakati akiingia kwenye viwanja vya Jangwani.
Dk.Jakaya Kikwete akipokelewa kwa nderemo alipowasili Jangwani
Nyomi haikuwa ya kawaida Jangwani.
Sehemu ya nyomi ya CCM Jangwano leo


Friday, October 29, 2010

MHE.IDDI AZZAN AFUNGA KAMPENI ZAKE KIGOGO.

Mhe.Iddi Azzan akiwahutubia Wananchi wa Kigogo wakati wa kufunga kampeni zake katika kata hiyo,akiendelea kunadi sera zake ikiwa ni kuendeleza kuleta maisha bora kwa kwata hiyo, akiwaomba Wananchi kufanya uchaguzi sahihi kwa kuwapigia kura viongozi wa CCM kuanzia Urais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete, Ubunge Mhe.Iddi Azzan kwa Jimbo la Kinondoni na Diwani wa Kata Hiyo Ndugu Chambuso.
 Mgombea Ubunge Mhe.Iddi Azzan akimdani Mgombea Udiwani wa kata ya kigogo Ndugu Chambuso kwa niaba ya Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete.
 Mhe.Iddi Azzan akimkabidhi kadi ya CCM bibi ambaye ameamua kujiengua chama cha Wananchi CUF.
 Mhe.Iddi Azzan akiomba ridhaa kwa Maelfu ya Wananchi waliohudhuria katika Mkutano wake wa Kufunga Kamepeni katika kata ya Kigogo.
 Mhe.Iddi Azzan akijadili kitu na ndugu Ahmed Zein ambaye ni kada wa CCM pamoja na Diwani wa Kata ya Kigogo Ndugu Chambuso.
Mmoja wa wanachama wa CCM akiwa anasikiliza kwa makini sera za mgombea Mhe.Iddi Azzan
 Wananchi wakisikiliza kwa makini sera za Mhe.Iddi Azzan
Umati Wa Wananchi walifurika katika viwanja hivyo vya kata ya kigogo.
 kikosi Cha Kampeni kikiwa pamoja.
 Kikosi cha Kampeni kikiwa na Mhe.Iddi Azzan
Mhe.Iddi Azzan akiwa na Kikosi chake cha Kampeni.