Monday, February 14, 2011

VIONGOZI WA NCHI WAKIOMBA DUWA KATIKA KIFO CHA DEREVA WA IKULU...!

 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na Makamo wake Mhe.Mohammed Gharib Bilal na Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Ndugu Rashid Othmani Kushoto kwenye picha wakisoma Dua ya pamoja kwa ajili ya Mwili wa Marehe Ramadhani Said Mkoma aliyefariki dunia kwa ajali ya gari iliyotokea Ruvu kwenye msafara wa Mama Salma.
Makamu wa Rais Mhe.Mohammed Gharib Bilali akitoa salamu za pole kwa Wafiwa wa Marehemu.

MANDHARI YA BUNGE.

Hivi ndivyo mandhari ya bunge la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania lilivyo huko dodoma, Waheshimiwa Wabunge wakiwa wamekaa kwa utulivu katika viti vyao wakisikiliza Maswali na Majibu, kutoka kwa Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge.