Friday, November 19, 2010

MHE.IDDI AZZA NDANI YA BUNGE

Mh.Iddi Azzan akiwa na Mhe.Steven Wasira wakibadilishana mawazo nje ya ukumbi wa bunge.
Mhe.Iddi Azzan akiwa nje ya ukumbi wa bunge na baadhi ya Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi baada ya kwisha kuapishwa.
Mhe.Iddi Azzan akiwa na kijana wake Ahmed  Nje ya Kumbi wa Bunge kabla ya kwenda kuapishwa.
Mhe.Iddi Azzan akimpongeza Mama Anne Makinda baada ya Kuchaguliwa Kugombania nafasi ya Uspika kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi.







No comments:

Post a Comment