Thursday, December 2, 2010

ASAFIRI KWA BAISKELI GEITA-DAR, KUMPONGEZA RAIS MH:JAKAYA KIKWETE!



Rais Dk. Jakaya Kikwete, akimkaribisha Ikulu jijini Dar es Salaam, Mussa Lunyeka, kutoka kijiji cha Chabulongo, Kata ya Kasamwa, Geita, wakati alipowasili Ikulu kumpongeza Rais kwa kushinda katika uchaguzi mkuu mwaka huu. Kijana huyo mkulima, aliyesafiri kwa baiskeli kutoka Geita kuja Dare s Salaam, alipata wasaa wa kuzungumza na Rais Kikwete ambaye alimpongeza kwa moyo wake wa uzalendo na kuahidi kumpatia msaada wa kuboresha shughuli zake za kilimo.

No comments:

Post a Comment