Tuesday, December 14, 2010

MHE: JAKAYA MRISHO KIKWETE AKABIDHIWA KOMBE LA CECAFA NA KILIMANJARO STAR.




Rais Jakaya Kikwete akiwa ameshikilia Kombe la Chalenji baada ya kukabidhiwa na wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania Bara `Kilimanjaro Stars` aliowaalika ikulu jijini Dar es Salaam.

kilimanjaro star wakishangilia baada ya kukabidhiwa kombe la challengi cup.

capten masajigwa na kocha mkuu wa kilimanjaro star wakikabidhiwa cheque ya dolla elfu 30,000 baada ya kutwaa ubingwa wa challeng cup, Kilimanjaro Star akiwa mwenyeji wa mashindano hayoo.

No comments:

Post a Comment