Monday, February 14, 2011

MANDHARI YA BUNGE.

Hivi ndivyo mandhari ya bunge la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania lilivyo huko dodoma, Waheshimiwa Wabunge wakiwa wamekaa kwa utulivu katika viti vyao wakisikiliza Maswali na Majibu, kutoka kwa Waheshimiwa Mawaziri na Wabunge.

No comments:

Post a Comment