Monday, January 24, 2011

MHE.IDDI AZZAN MGENI RASMI KATIKA MCHEZO WA KIRAFIKI DHIDI YA WASHIRIKI MISS UTALII 2010/2011

Mbunge wa Kinondoni Mhe. Idd Azzan akisalimiana na washiriki wa Miss Utalii Tanzania Kaskazini wakati wa Mchezo wa Kirafiki Dhidi ya warembo wa Mashariki.
Washiriki Miss Utalii Tanzania- Kusini na Magharini kabla ya mchezo wao wa mpira wa miguu.
washiriki Miss Utalii Tanzania 2010/2011
wakila tizi katika Ufukwe wa Coco Beach jijini Dar.
Washiriki Miss Utalii wakicheza mechi yao wenyewe kwa wenyewe.

No comments:

Post a Comment