Wednesday, January 12, 2011

TANZANIA HOUSE OF TALENT (THT) YATIMIZA MIAKA 5

Vijana wa THT wakiburudisha usiku huu kwenye sherehe za miaka mitano ya Tanzania House of Talent ukumbi wa Mlimani City jijini DarDa'Kemi akimuogoza Mgeni Rasmi Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dr Emanuel Nchimbi wakati wa kuingia ukumbini usiku huu kwa kwa ajili ya kuhudhuria maadhimisho ya miaka 5 ya THT akiwa ameambatana na Mkurugenzi wa utamaduni Prof Hermus Mwansoko.
Hawa ndio wanaozindua albamu zao kwa pamoja usiku huu,Kutoka kulia ni Linah,Barnaba,Mataluma,Ditto,Mwasiti pamoja na Amin wakiwa katika picha ya pamoja
Waheshimiwa nao walikuwepo kushuhudia burudani kutoka vijana wa THT. Waziri Emmanuel Nchimbi na Mbunge Lowassa na mkewe Regina

No comments:

Post a Comment