Tuesday, January 4, 2011

MAREHEMU NGOSHA AZIKWA DAR.

Wanamuziki katika mazishi ya mwenzao hayati Charles John Ngosha . Toka kulia no Cosmas Chidumule, Mafumu Bilali Bombenfa, Kassim Mapili na aliyejificha kushoto ni Waziri Ally

Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Mhe.Iddi Azzan akiwa ameketi  pamoja na wakongwe wa muziki wa dansi nchini waliokuwa kwenye mazishi ya Charles John Ngosha
Jeneza lenye mwili wa marehemu likipelekwa makaburini MagomeniUmati mkubwa wa wanamuziki, wapenzi wa muziki,
ndugu jamaa na marafiki ulihudhuria. Marehemu Ngosha, aliyefariki juzi akiwa na umri wa miaka 45, alikuwa mpiga bezi mashuhuri sio tu wa Sikinde bali hata wanamuziki mahili kama Kanda Bongoman walikuwa wakimtumia kutokana na uwezo wake mkubwa.
Umati mkubwa wa wanamuziki, wapenzi wa muziki,
ndugu jamaa na marafiki ulihudhuria. Marehemu Ngosha, aliyefariki juzi akiwa na umri wa miaka 45, alikuwa mpiga bezi mashuhuri sio tu wa Sikinde bali hata wanamuziki mahili kama Kanda Bongoman walikuwa wakimtumia kutokana na uwezo wake mkubwa. Umati mkubwa wa wanamuziki, wapenzi wa muziki,
ndugu jamaa na marafiki ulihudhuria. Marehemu Ngosha, aliyefariki juzi akiwa na umri wa miaka 45, alikuwa mpiga bezi mashuhuri sio tu wa Sikinde bali hata wanamuziki mahili kama Kanda Bongoman walikuwa wakimtumia kutokana na uwezo wake mkubwa.
Marehemu Mustafa Ngosha

No comments:

Post a Comment