Wednesday, January 12, 2011

SHEREHE ZA MAPINDUZI YA ZANZIBAR MIAKA 47.

Mh.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dkt Ali Mohammed Shein akiwahutubia katika sherehe hizo zilizofanyika katika uwanja wa Amani.
Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) na Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi wakibadilishana mawazo wakati wa kuazimisha sherehe za Mapinduzi miaka 47.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohammed Shein na Rais wa Jamuhuiri wa Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho kikwete wakisimama kwaajili ya kupokea maandamano ya sherehe hizo za Mapinduzi katika uwanja wa Amani.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohammed Shein akikaguwa jeshi la polisi wakati wa sherehe za Mapinduzi zilizotimiza miaka 47.

No comments:

Post a Comment