Tuesday, January 4, 2011

Remmy Ongala hatimae azikwa.

Mheshimiwa mbunge wa kinondoni Mhe.Iddi Azzan akiwasili katika mazishi ya Mkongwe huyo.
Mheshimiwa Mbunge wa Kinondoni Mhe.Iddi Azzan akiwa pamoja na Waziri wa habari na Michezo katika msiba wa Mkongwe huyo Dkt Remmy Ongala
Jeneza la Dkt.Remmy likiwa limewekwa na kuagwa kwa mara ya mwisho.
Mili wa marehemu ukiwasili makaburini.

No comments:

Post a Comment