Tuesday, July 30, 2013

KESI YA JAYDEE YASOGEZWA MBELE

Mwanamuziki Judith Wambura akiongozana na msanii mwenzie Professa Jay wakitoka Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, kusikiliza kesi inayomkabili iliyofunguriwa na mkurugenzi mtafiti na maendeleo wa Kampuni ya Clouds Media kwa madai ya kukashfu uongozi huo, kesi hiyo imepigwa kalenda hadi Agosti 2 mwaka huu

No comments:

Post a Comment