Friday, July 12, 2013

YALIYOJILI MECHI YA TAMASHA LA MATUMAINI

 Baadhi ya wabunge wa timu ya Yanga wakifanya mazoezi kabla ya mechi iliyochezwa hivi karibuni uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam siku ya Tamasha la Matumaini
 Baadhi ya timu ya wabunge wa Simba na Yanga wakiingia uwanjani hapo kwa ajili ya mechi hiyo ambapo timu ya Yanga iliweza kuchukua kombe la ushindi kwa goli la penati

 Kikosi cha timu ya Simba wabunge

No comments:

Post a Comment