Monday, August 5, 2013

SELENA GOMEZ AFICHUA SIRI YA BIEBER


Ripoti kwamba Selena Gomez na Justin Bieber wanarudiana na kuachana mara kwa mara zimepata ufumbuzi kutoka kwa kimwana huyo.

"Nimemfahamu Bieber kwa muda mrefu na tunafurahiana kampani ya kila mmoja wetu mara kwa mara " alisema Selena aliliambia Associated Press aliongezea kuwa " mimi niko single na ninafurahia hilo"

No comments:

Post a Comment