Monday, September 13, 2010

DR. MRISHO JAKAYA KIKWETE HANA MPINZANI JIMBO LA BUMBULI


Mgombea urais kwa tiketi CCM,Dr. Jakaya Kikwete akipokelewa kwa shangwe na umati mkubwa wa watu na wapenzi wa CCM wa Bumbuli wilani Lushoto Jumatatu jioni katika uwanja wa mkutano wa Togotwe, Bumbuli.

Mgombea ubunge jimbo la Bumbuli January Makamba akimwaga sera baada ya kunadiwa na Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. Jakaya Kikwete kwenye mkutano huo.

Vilima vyote kuzunguka uwanja wa Togotwe vilifurika watu

Wana Bumbuli wote mkutanoni

 
Wasanii nyota kibao walikuwepo.

Palikuwa hapatoshi Mwanzo Mwisho

No comments:

Post a Comment