Wednesday, September 29, 2010

KATA YA MWANANYAMALA WAMPOKEA KWA KISHINDO MH:IDDI AZZAN.


Mh:Iddi Azzan akimnadi Mgombea Udiwani Ndugu Songoro Mnyonge kwa wananchi wa kata ya Mwananyamala wa kati wa kampeni zilizofanyika hapo jana, aliwaomba wananchi wachague Viongozi wa chama cha Mapinduzi kwa Maisha bora ikiwa nafasi ya Urais Mh:Jakaya Kikwete, Ubunge kwa Jimbo la Kinondoni yeye Mwenyewe Mh:Iddi Azzan na Kata hiyo ya Mwananyamala nafasi ya Udiwani Ndugu Songoro Mnyonge.
Mh:Iddi Azzan Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni akiwa amekaa pamoja na Mgombea Udiwani Ndugu Songoro Mnyonge wakati wa kampeni zilizofanyika kata ya Mwananyamala.
Mh:Iddi Azzan akiwapungia mikono wananchi wa kata ya Mwananyamala wakati akiwasili katika uwanja wa kampeni uliopo katika kata hiyo.
Wananchi wa kata ya Mwananyamala wakimpokea Mh:Iddi Azzan alipokuwa anawasili katika uwanja wa kampeni katika kata hiyo.

No comments:

Post a Comment