Sunday, September 19, 2010

MH:IDDI AZZAN AZINDUWA TAWI LA UMOJA WA WAZAZI TZ, KINONDONI MIKOROSHINI

Mh: Iddi Azzan akihutubia wakati wa uzinduzi wa Tawi jipya la Umoja wa Wazazi Tz muda mfupi tu kabla ya kuelekea kwenye kampeni zake katika Uwanja wa Ndugumbi.
Mmoja kati ya wanachama wa Tawi hilo la Umoja wa Wazazi akisoma risala fupi mbele ya Mh: Iddi Azzan.
Mh:Iddi Azzan akipandisha bendera juu kuashiria kuwa Tawi hilo limefunguliwa rasmi.

 
Mh: Iddi Azzan akimpa mkono Mwenyekiti kuashiria kuwa uzinduzi wa tawi hilo umekamilika. 

Mh: Iddi Azzan akigawa kadi kwa mmoja wa wanchama wapya wa Tawi hilo la Umoja wa Wazazi TZ lilopo Kinondoni Mikoroshini

Tawi hili limezinduliwa na Mh: Iddi Azzani Muda mfupi tu akiwa anelekea katika uwanja wa kampeni wa Ndugumbi.
Mh: Iddi Azzan akikaribishwa katika tawi jipya la Umoja wa Wazazi Tz kwa ajili ya kulizinduwa tawi hilo lilopo kinondoni Mikoroshini.


Wanachama wa CCM wakimpokea Mh: Iddi Azzani wakati wa Kufungua tawi jipa la Umoja wa Wazazi lilopo Jimbo la Kinondoni Mikoroshini.
Tawi jipya la Umoja wa Wazazi TZ lilopo Jimbo la Kinondoni Mikoroshi lazinduliwa na Mh: Iddi Azzan kabla ya kwenda kwenye kampeni zake katika uwanja wa kata ya Ndugumbi.

No comments:

Post a Comment