Friday, September 24, 2010

JK, IDDI AZZAN NA MUTAYOBA WAPIGIWA DEBE NA MTOTO CHIPUKIZI, MWANANYAMALA KATA YA MAKUMBUSHO.

Mh:Iddi Azzan na Mutayoba wakiwapungia mikono wananchi wa Makumbusho katika uwanja wa Kampeni wa kata hiyo.
Wananchi wa kata ya Makumbusho wakisikiliza kwa makini sera za wagombea wa chama cha CCM walipokuwa wakinadi sera zao katika uwanja wa kampeni wa kata hiyo.
Mh:Iddi Azzan akitoa sera zake kwa wanachama wa kata ya Makumbusho akiwaambia kuwa watoto atawapa kipa umbele kuhakikisha wanapata haki zote za msingi.
Mtoto Chipukizi Mohamed akiwapigia debe Viongozi wa CCM na kusema kuwa Vyama pinzani havina nafasi.


No comments:

Post a Comment