Monday, September 13, 2010

MH: IDDI AZZAN ATINGA NDANI YA KATA YA TANDALE LEO.



Mh: Iddi Azzan Mgombea Ubunge kupitia tiketi ya chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Kinondoni akiwaelezea wanachama wa chama hicho sera na mipango ya uchaguzi unaotarajiwa kufanyika October 31. aidha Mh: Iddi Azzan aliwataka wanachama wa kata hiyo ya Tandale kuwa na Nguvu zaidi, Kasi zaidi ili kuweza kushinda uchaguzi huo. pia aliwaomba kuhakikisha wanachagua Mafiga Matatu yote ya CCM ili kunedeleza kasi ya maendeleo." KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI "
Ndugu Chilumanga Mgombea Udiwani kupitia chama cha Mapidunzi katika kata ya Tandale akijinadi mbele ya wanachama wa chama hicho, Mkutano ulifanyika katika ofisi ya CCM kata ya Tandale.
 
Mzee huyu akiiombea Duwa CCM kisiri siri na kuvuta uradi wakati wa Mkutano wa chama cha Mapidunzi ukiwa unaendelea.

No comments:

Post a Comment