Saturday, September 11, 2010

MH: JAKAYA MRISHO KIKWETE AKISHIRIKI SWALA YA EID, TANGA.


Mh: Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Issa Shaaban Simba wakati wa swala ya Eid iliyoswaliwa kwenye Msikiti Mkuu wa Riyadh Mjini Tanga leo asubuhi.

Rais Mstaafu wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi akipeana Mkono wa eid na  Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Issa Shaaban Simba wakati wa Swala ya Eid iliyoswaliwa katika Msikiti Mkuu wa Riyadh mjini Tanga.Mzee Mwinyi ndiye mgeni Rasmi katika Baraza la Idd litakalofanyika kitaifa mjini Tanga.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mkono wa Iddi na Rais Mstaafu wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi wakati wa Swala ya Eid iliyoswaliwa katika Msikiti Mkuu wa Riyadh mjini Tanga.

No comments:

Post a Comment