Tuesday, September 10, 2013

ASAP ROCKY AKAMATWA

Mwanamuziki wa hip hop nchini Marekani Asap Rocky amekamatwa na polisi baada ya kumpiga shabiki wake wa kike kwenye tamasha la 'Made in America' lililofanyika huko mjini Philadelphia.

Hayo yametokea baada ya msanii huyo kupita mbele ya mashabiki wake hao waliokuwa wakicheza na kisha mmoja kumshika nguo yake ndipo alipogeuka na kumpiga.

Shabiki huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja, amesema ameumizwa na msanii huyo na teyari ameshamfungulia kesi ya kujeruhi mwimbaji huyo

No comments:

Post a Comment