Friday, September 20, 2013

WAZIRI SITTA ATEMBELEA KIWANDA CHA BIA SERENGETI



Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samuel Sitta akisikiliza maelezo kutoka kwa Packaging Manager wa kiwanda cha bia cha Serengeti (SBL) kilichopo jijini Dar es Salaam, wakati alipotembelea kiwanda hicho kujionea uzalishaji unaofanya pamoja na changamoto zinazozikumba kiwanda hicho.

No comments:

Post a Comment