Wednesday, October 27, 2010

KATA YA HANANASIF BABU KUBWA KWA MHE.IDDI AZZAN

Mhe.Iddi Azzan akihutubia umati wa Wananchi wa Kata ya Hananasif akiwaeleza sera zake ikiwa ni kuboresha makazi holela, barabara, maji na kusimamia sheria za watoto iliyotungwa mwaka (2009).  
 Mjumbe wa Halimashauri kuu Mzee Hanzuruni akimuombea duwa Mhe.Iddi Azzan.
Mhe.Iddi Azzan akiwa jukwaani akimwaga sera zake kwa Wananchi wa kata ya Hananasifu.
Mmoja wa makada wa CCM Kijana Macdonald akiwahamasisha Wananchi kukipigia kura chama cha Mapinduzi.
Mgeni rasmi Mzee Hanzuruni akigawa kadi ya Chama Cha Mapidunzi kwa Mwanachama mpya katika mkutano huo wa kampeni. 
Mhe.Iddi Azzan akiwasalimia Wananchi wa Kata ya Hananasifu baada ya kuwasili hapo.
Wananchi walivyo furika kata ya Hananasifu. 
Viongozi wachama walizungukwa kila kona....!
Mtu kibaoooo...! 
 Wasaniii wa Fataki wakiburudisha jukwaani
Nafasi kulikuwa hakuna.
Watoto wakigombania kuushika mkono wa Mhe.Iddi Azzan



Watu nyomiiiii

No comments:

Post a Comment