Friday, October 29, 2010

MHE.IDDI AZZAN AFUNGA KAMPENI ZAKE KIGOGO.

Mhe.Iddi Azzan akiwahutubia Wananchi wa Kigogo wakati wa kufunga kampeni zake katika kata hiyo,akiendelea kunadi sera zake ikiwa ni kuendeleza kuleta maisha bora kwa kwata hiyo, akiwaomba Wananchi kufanya uchaguzi sahihi kwa kuwapigia kura viongozi wa CCM kuanzia Urais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete, Ubunge Mhe.Iddi Azzan kwa Jimbo la Kinondoni na Diwani wa Kata Hiyo Ndugu Chambuso.
 Mgombea Ubunge Mhe.Iddi Azzan akimdani Mgombea Udiwani wa kata ya kigogo Ndugu Chambuso kwa niaba ya Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete.
 Mhe.Iddi Azzan akimkabidhi kadi ya CCM bibi ambaye ameamua kujiengua chama cha Wananchi CUF.
 Mhe.Iddi Azzan akiomba ridhaa kwa Maelfu ya Wananchi waliohudhuria katika Mkutano wake wa Kufunga Kamepeni katika kata ya Kigogo.
 Mhe.Iddi Azzan akijadili kitu na ndugu Ahmed Zein ambaye ni kada wa CCM pamoja na Diwani wa Kata ya Kigogo Ndugu Chambuso.
Mmoja wa wanachama wa CCM akiwa anasikiliza kwa makini sera za mgombea Mhe.Iddi Azzan
 Wananchi wakisikiliza kwa makini sera za Mhe.Iddi Azzan
Umati Wa Wananchi walifurika katika viwanja hivyo vya kata ya kigogo.
 kikosi Cha Kampeni kikiwa pamoja.
 Kikosi cha Kampeni kikiwa na Mhe.Iddi Azzan
Mhe.Iddi Azzan akiwa na Kikosi chake cha Kampeni.

No comments:

Post a Comment