Friday, October 22, 2010

MHE.IDDI AZZAN AZINDUWA MASHINA MAWILI KATA YA MZIMUNI

 Shina lililofunguliwa na Mhe.Iddi Azzan kabla ya kuelekea kwenye mkutano wake wa kampeni

Mhe.Iddi Azzan akipandisha bendera la shina hilo ili kuanza kupepea kuashiria kuwa lemefunguliwa rasmi

 Shina la pili kufunguliwa na Mhe.Iddi Azzan

Mhe.Iddi Azzan akionekaniwa mwenye furaha baada ya kufungua Shina hilo ikiwa amefuatana na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi, Mbele ya yake ni Mzee dalali akishuhudia Ufunguzi huo.

No comments:

Post a Comment