Friday, October 8, 2010

MH.JAKAYA MRISHO KIKWETE AITEKA ZANZIBAR KATIKA KAMPENI ZAKE.

Mh.Jakaya Mrisho Kikwete mgombea Urais kupitia chama cha Mapinduzi akihutubia maelfu ya wananchi na wana CCM wa Zanzibar katika uwanja wa Demokrasia (zamani kibanda maiti) huko Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Amani Abeid Karume akipiga chapuo kukiombea ushindi chama cha CCM kwenye mkutano huo wa kampeni wa JK katika uwanja wa Demokrasia, Unguja.
Wasanii maarufu Mh. Temba na Chegge wa TMK Family walikuwepo kumtambulisha JK kwa wananchi wa Unguja.
Uwanja wa Demokrasia ulikuwa mdogo kutokana na wingi wa watu.
Waangalizi wa kimataifa, akiwemo ankal Paschal Mayalla.
Radio Zenj FM ilikuwepo kurusha laivu tukio hili la Mkutano wa JK kisiwani hapo.
Watu walikuwa nyomi uwanja wa Demokrasia, Unguja.
Marlaw naye akipiga honi kwa wapinzani
Barbara na Lilian walikuwepo pia
Msanii aliye juu kabisa visiwani kwa sasa akitumbuiza
wana CCM wakiwa kwenye  skuta zao wakimsubiri JK akitokea Pemba.
Mh.Jakaya Kikwete akiaga uwanja wandege wa Pemba baada ya kumaliza mkutano wake kisiwani hapo.
Mheshimiwa Dr.Jakaya Mrisho Kiwete akisalimiana na mgombea ubunge jimbo la Wawi Mh. Daudi uwanja wa Pemba

No comments:

Post a Comment