Tuesday, October 26, 2010

MHE.IDDI AZZAN AFUNGUWA SHINA LA NGUVU KAZI.

Mhe.Iddi Azzan akilifungua shina hili la Nguvu kazi lilopo kata ya Ndugumbi.
Mhe.Iddi Azzan akilifungua shina hilo kwa kuondoa kitambaa ambacho kili funikiwa shina hilo.
Mhe.Iddi Azzan akipandisha bendera baada ya kulifungua shina hilo la Nguvu Kazi.
 Shina likonekaniwa katika mtazamo wake baada ya kufunduliwa rasmi na Mhe.Iddi Azzan.

Mhe.Iddi Azzan akiwa anapewa maelezo mafupi kuhusu shina hilo.

No comments:

Post a Comment